Aliyejitangaza  Mfalme wa Ujerumani  Atiwa Mbaroni.

Aliyejitangaza Mfalme wa Ujerumani Atiwa Mbaroni.

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la  Peter Fitzek (59) amabaye alijitangaza kuwa  mfalme wa Ujerumani na watawala wake watatu wamekamatwa na kundi lao kupigwa marufuku kwa kujaribu kupindua Serikali.

Peter Fitzek  alikuwa miongoni mwa wale waliokamatwa katika uvamizi wa asubuhi kwenye majimbo saba Mwi 13, 2025 ambayo yalihusisha takribani maafisa 800 wa usalama.

Serikali ilipiga marufuku kikundi chao cha Reichsbürger,au ambao wanataka kuanzisha Königreich Deutschland, au Ufalme wa Ujerumani.

Waziri wa mambo ya ndani wa Ujerumani, Alexander Dobrindt alilishutumu kundi hilo kwa kujaribu kudhoofisha utawala wa sheria kwa kuunda taifa mbadala na kueneza simulizi ya chuki dhidi ya Wayahudi ili kuunga mkono madai yao ya mamlaka.

Related Articles

Visitor Counter

000970
Today: 1
Yesterday: 14
This Week: 18
Last Week: 49
This Month: 122

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz