Kesi ya Mwanamke Anayeshutumiwa Kumuua Ndugu  yake Kwa Uyoga Wenye Sumu Yaanza Kusikilizwa

Kesi ya Mwanamke Anayeshutumiwa Kumuua Ndugu yake Kwa Uyoga Wenye Sumu Yaanza Kusikilizwa

Kesi ya mwanamke mmoja  anayafahamika kwa jina la Erin Patterson (50)  amabaye anashutumiwa  kwa kuwauwa ndugu zake  kwa uyoga wenye sumu wakati wa chakula cha mchana imeanza kusikilizwa ambapo mwanamke huyo  anakabiliwa na mashtaka matatu ya mauaji shtaka moja likiwa ni kujaribu kuua   kwa chakula cha mchana chenye sumu  alichowapa  ndugu zake  huko Gippsland Kusini mnamo mwaka 2023.

 Mahakama imesema kuwa Polisi hawajawahi kupata simu iliyotumika na Erin Patterson siku hiyo na simu nyingine iliyopatikana na kuchukuliwa wakati wanafanya msako nyumbani kwake ilikuwa imefutwa kila kitu na kurejeshwa ilivyokuwa mwanzoni.

Patterson pia aliwaambia polisi hajawahi kuwa na chombo cha kukausha chakula licha ya CCTV kumwonyesha akitupa kifaa hicho, na utafiti wa ujasusi baadaye ukaonyesha kuwa kifaa hicho kina alama za vidole vyake na kilipatikana na mabaki ya uyoga wenye sumu.

 

Related Articles

Visitor Counter

000531
Today: 5
Yesterday: 9
This Week: 41
Last Week: 32
This Month: 14

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz