Marekani yaagiza Bendera Kupepea Nusu Mlingoti

Marekani yaagiza Bendera Kupepea Nusu Mlingoti

Rais wa Marekani,Donald Trump ameamuru bendera zote zipandishwe nusu mlingoti kama sehemu ya maombolezo ya Baba Mtakatifu Francis, aliyefariki  jana Jumatatu  Aprili 21, 2025

Amri hii inahusisha “majengo yote ya umma na maeneo, katika kila kituo cha kijeshi na vituo vya baharini na kwenye meli zote za baharini za Serikali ya Shirikisho katika Wilaya ya Columbia na katika sehemu zote za Marekani na miliki zake hadi jua litakapotua, siku ya maziko,” taarifa ilieleza.

Taarifa iliongezea kuwa, “ amri hiyo inajumuisha balozi za Marekani, ofisi za kidiplomasia, ofisi za konsula, na vituo vingine vya nje, ikiwa ni pamoja na vifaa vyote vya kijeshi na meli za baharini na vituo pia vinahusika”.

Related Articles

Visitor Counter

000536
Today: 5
Yesterday: 5
This Week: 46
Last Week: 32
This Month: 19

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz