Mume wa mwimbaji wa Muziki wa Injili  Nigeria Aukumiwa  kunyongwa hadi Kufa

Mume wa mwimbaji wa Muziki wa Injili Nigeria Aukumiwa kunyongwa hadi Kufa

Mahakama kuu huko Abuja nchini Nigeria  imemhukumu Peter Nwachukwu, mume wa mwimbaji maarufu wa injili Osinachi, adhabu ya kunyongwa hadi kifo  baada ya  kupatikana na hatia ya mauaji.

Hukumu hiyo, iliyotolewa na jaji Nwosu-Iheme, imetolewa miaka mitatu baada ya kifo cha osinachi kilichotokea mnamo aprili 8, 2022. Kesi hiyo imejulikana zaidi  kwa sababu ya umaarufu wa Osinachi katika muziki wa injili wa Nigeria na jamii ya wakristo.

Polisi walikuwa wamemkamata bwana nwachukwu baada ya mkewe, kufariki akiwa katika hospitali moja huko Abuja  huku ripoti za awali zikiwa zimependekeza kuwa  mwanamke huyo aliyekuwa na umri wa miaka 42 alikuwa mgonjwa wa saratani ya koo, lakini familia yake ilikataa na kudai kwamba alikuwa mwathirika wa unyanyasaji wa nyumbani.

Related Articles

Visitor Counter

000536
Today: 5
Yesterday: 5
This Week: 46
Last Week: 32
This Month: 19

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz