Neema kwa Wanafuzi wa Vyuo Vikuu na Kati

Neema kwa Wanafuzi wa Vyuo Vikuu na Kati

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda amesema kwa mwaka 2025/26, itaongeza idadi ya wanafunzi wanaonufaika na mikopo ya elimu ya juu kutoka 245,314 mwaka 2024/25 hadi wanafunzi 252,773.

Akiwasilisha leo bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka 2025/26, Prof.Mkenda amesema kwa mwaka wa kwanza watakaonufaika ni 88,320 na wanaoendelea 164,453 mwaka 2025/26.

Pia, amesema itaendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi 10,000 wa ngazi ya stashahada katika fani za kipaumbele ikiwamo Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati.

Related Articles

Visitor Counter

000727
Today: 8
Yesterday: 4
This Week: 8
Last Week: 91
This Month: 210

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz