Rais Donald Trump Amteua Waltz Kuwa Balozi  UN

Rais Donald Trump Amteua Waltz Kuwa Balozi UN

Rais Donald Trump ametangaza  kumteua mshauri wake wa usalama wa kitaifa, Mike Waltz, kuwa balozi wa Marekani katika Shirika la Umoja wa Mataifa.

Trump ametoa tangazo hilo Mei mosi 2025,  kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social  huku  Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio  akatarajiwa kushika nafasi ya Mike Waltz kwa muda.

Tangazo hilo lilitolewa saa chache kufuatia ripoti kuwa  Waltz na naibu wake, Alex Wong, watajiuzulu nafasi zao, wakati shinikizo likizidi kuhusu jukumu la Waltz kwenye kashfa ya Signalgate.

Waltz alimuunga bila kukusudia mwandishi wa habari kwenye kundi ambalo hujadiliana taarifa za siri hususani za mipango ya vita, hatua iliyobua madai ya taarifa hizo kuvuja

Related Articles

Visitor Counter

000531
Today: 5
Yesterday: 9
This Week: 41
Last Week: 32
This Month: 14

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz